UHURU WA HABARI NA MAWASILIANO
- Nurdin Machaku
- Sep 9, 2024
- 1 min read
mnamo mwaka 2002 serikali ilipitisha Sheria inayoruhusu Uhuru wa habari na mawasiliano ambapo Sheria hiyo iliruhusu makampuni na watu binafsi kufungua kuanzisha na kuendesha vyombo vya habari



